Document

Aqiida (Itikadi ya Kiislamu) Maswali na Majibu – Nini hukumu ya kumwomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu kama mawalii?

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Aqiida (Itikadi ya Kiislamu) Maswali na Majibu – Nini hukumu ya kumwomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu kama mawalii?
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Aqiida (Itikadi ya Kiislamu) Maswali na Majibu – Nini hukumu ya kumwomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu kama mawalii?
العقيدة سؤال وجواب – ما حكم دعاء غير الله كالأولياء؟
دعاؤهم شرك يدخل النار
الدليل من القرآن الكريم
قال الله تعالى :
فلا تدع مع الله إلها آخر فتكون من المعذبين
[الشعراء : 213]
الدليل من السنة النبوية
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
من مات وهو يدعو من دون الله ندا دخل النار
رواه البخاري
Aqiida (Itikadi ya Kiislamu) Maswali na Majibu –
Nini hukumu ya kumwomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu kama mawalii?
Kuwaomba ni shirki inayosababisha kuingia motoni.
Dalili kutoka katika Qur’an:
Mwenyezi Mungu amesema:
” Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa..”
[Surat Ash-Shu’ara: 213]
Dalili kutoka katika Sunnah:
Mtume wa Mwenyezi Mungu (Rehma na amani zimshukie) amesema:
“Yeyote atakayekufa huku akimwomba asiyekuwa Mwenyezi Mungu mshirika, ataingia motoni.”
(Imepokewa na Bukhari)

45
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img