Aqiida (Itikadi ya Kiisalmu: Maswali na Majibu – Faida ya Tawhid kwa Muislamu ni nini?

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Aqiida (Itikadi ya Kiisalmu: Maswali na Majibu – Faida ya Tawhid kwa Muislamu ni nini?
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Aqiida (Itikadi ya Kiisalmu: Maswali na Majibu – Faida ya Tawhid kwa Muislamu ni nini?
العقيدة سؤال وجواب – ما هي فائدة التوحيد للمسلم؟
الهداية في الدنيا والأمن في الآخرة .
الدليل من القرآن الكريم
قال الله تعالى :
الذين آمنوا ولم يلبسوا إيمانهم بظلم أولئك لهم الأمن وهم مهتدون
[الأنعام : 82]
الدليل من السنة النبوية
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
حق العباد على الله أن لا يعذب من لا يشرك به شيئا
متفق عليه
Aqiida (Itikadi ya Kiisalmu: Maswali na Majibu –
Faida ya Tawhid kwa Muislamu ni nini?
Mwongozo katika maisha ya dunia na usalama katika Akhera.
Dalili kutoka katika Qur’an Tukufu:
Mwenyezi Mungu anasema:
“Wale walioamini na hawakuchanganya imani yao na dhulma, hao watakuwa na amani na wao ndio walioongoka.”
[Al-An’am: 82]
Dalili kutoka katika Hadithi ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam):
Mtume wa Mwenyezi Mungu alisema:
“Haki ya waja juu ya Mwenyezi Mungu ni kwamba asiwaadhibu wale wasiomshirikisha Yeye na chochote.”
(Hadithi hii imekubaliwa na Bukhari na Muslim)

37
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img