Document

Je, Inaruhusiwa Kuzunguka Makaburi kwa Njia ya Ibada?

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Je, Inaruhusiwa Kuzunguka Makaburi kwa Njia ya Ibada?
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

العقيدة سؤال وجواب – هل يجوز الطواف بالقبور ؟
لا يجوز الطواف إلا بالكعبة
الدليل من القرآن الكريم
قال الله تعالى :
وليطوفوا بالبيت العتيق
[الحج : 29]
أي الكعبة
الدليل من السنة النبوية
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
من طاف بالبيت وصلى ركعتين كان كعتق رقبة
رواه ابن ماجة وصححه الألباني
Aqiida (Itikadi ya Kiisalamu): Swali na Jibu –
Je, Inaruhusiwa Kuzunguka Makaburi kwa Njia ya Ibada?
Swali:
Je, Inaruhusiwa Kuzunguka Makaburi kwa Njia ya Ibada?
Jibu:
Hapana, haijuzu kutufu isipokuwa katika Al-Kaaba tu.
Dalili kutoka Qur’an:
Mwenyezi Mungu Amesema:
” Na waizunguke Nyumba ya Kale..”
[Al-Hajj: 29]
(Yaani, Al-Kaaba).
Dalili kutoka Sunna ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam):
Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayezunguka Nyumba Tukufu na kusali rakaa mbili, ni kama amemkomboa mtumwa.”
[Imepokewa na Ibn Majah na kuhesabiwa sahihi na Al-Albani]

26
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img