Document

Silsila ya Tabia njema – Kuwatendea wema wanyonge new post

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Silsila ya Tabia njema – Kuwatendea wema wanyonge
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Silsila ya Tabia njema – Kuwatendea wema wanyonge
سلسلة الأخلاق – الإحسان إلى الضعفاء
أخلاق محمودة حث عليها الشرع وأمر بها
الإحسان إلى الضعفاء
قال الله تعالى :
وبالوالدين إحسانا وبذي القربى واليتامى والمساكين والجار ذي القربى والجار الجنب والصاحب بالجنب وابن السبيل وما ملكت أيمانكم
( النساء : 36 )
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
الساعي على الأرملة والمسكين ، كالمجاهد في سبيل الله ، أو القائم الليل والصائم النهار
متفق عليه

Silsila ya Tabia njema – Kuwatendea wema wanyonge
Ni tabia njema sana ambazo zimesifiwa na kuamrishwa na Uislamu ni Kuwatendea Wema wanyonge:
Mwenyezi Mungu anasema:
” Na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na mayatima na masikini na jirani wa karibu na jirani wa mbali, na rafiki wa ubavuni na mpita njia, na walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. ”
(An-Nisa: 36)
Amesema Mtume (Rehema na amani zimfikie yeye):
“Yule anayejitahidi kusaidia mjane au maskini ni kama mjahid katika njia ya Mwenyezi Mungu, au kama yule anayekesha usiku kwa kusali na Mchana kwa kufunga”
(Muttafaqun ‘alaih)

3
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img