Silsila ya Tabia njema – Kuwa na maneno mazuri 
لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا
جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي
Silsila ya Tabia njema – Kuwa na maneno mazuri
سلسلة الأخلاق – حسن الكلام
أخلاق محمودة حث عليها الشرع وأمر بها
حسن الكلام
قال الله تعالى :
وقولوا للناس حسنا
( البقرة : 83 )
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
إن موجبات المغفرة بذل السلام ، وحسن الكلام
صححه الألباني ( صحيح الجامع )
Silsila ya Tabia njema – Kuwa na maneno mazuri
Ni tabia njema sana ambazo zimesifiwa na kuamrishwa na Uislamu ni mtu kuwa na maneno mazuri
Mwenyezi Mungu anasema:
“Na semeni kwa watu maneno mema.”
(Al-Baqara: 83)
Anasema Mtume (rehma na amani zimikie yeye):
“Miongoni mwa njia za kupata msamaha wa dhambi ni kutoa salamu na kusema maneno mazuri.”
(Sahih al-Jami’, Al-Albani)