Document

Ni Watu Gani Bora Baada ya Mitume?

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Ni Watu Gani Bora Baada ya Mitume?
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Ni Watu Gani Bora Baada ya Mitume?
العقيدة سؤال وجواب – من هم أفضل الناس بعد الرسل ؟
هم أصحاب رسول الله صلى الله عليه وسلم
الدليل من القرآن الكريم
قال الله تعالى :
والسابقون الأولون من المهاجرين والأنصار والذين اتبعوهم بإحسان رضي الله عنهم ورضوا عنه
[التوبة : 100]
الدليل من السنة النبوية
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
خير الناس قرني ، ثم الذين يلونهم ، ثم الذين يلونهم
متفق عليه
Aqida: ( Itikadi ya Kiislamu) Swali na Jibu –
Ni Watu Gani Bora Baada ya Mitume?
Watu bora baada ya mitume ni Masahaba wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam).
Dalili kutoka kwenye Qur’an Tukufu:
Allah anasema:” Na wale walio tangulia, wa kwanza, katika Wahajiri na Ansari, na walio wafuata kwa wema, Mwenyezi Mungu ameridhika nao,”(At-Tawba: 100)
Dalili kutoka kwenye Sunna ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam):
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
“Watu bora ni wa karne yangu, kisha wale wanaowafuata, kisha wale wanaowafuata.”
(Imeafikiwa na Bukhari na Muslim)

49
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img