Je, Kuna Sunna Nzuri Katika Uislamu?

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Je, Kuna Sunna Nzuri Katika Uislamu?
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Je, Kuna Sunna Nzuri Katika Uislamu?
العقيدة سؤال وجواب – هل في الإسلام سنة حسنة ؟
نعم، كالبادئ بفعل خير ليقتدى به
الدليل من القرآن الكريم
قال الله تعالى :
واجعلنا للمتقين إماما
[الفرقان : 74]
أي قدوة في فعل الخير
الدليل من السنة النبوية
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
من سن في الإسلام سنة حسنة ، فله أجرها ، وأجر من عمل بها بعده
رواه مسلم
Aqida: ( Itikadi ya Kiislamu) Swali na Jibu –
Je, Kuna Sunna Nzuri Katika Uislamu?
Ndio, kama mtu anayeanzisha jambo jema ambalo linafuatwa.
Dalili kutoka kwenye Qur’an Tukufu:
Allah anasema:
” na utujaalie tuwe waongozi kwa wachamngu.”
(Al-Furqan: 74)
Maana yake: Tuwe kigezo katika kufanya mema.
Dalili kutoka kwenye Sunna ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam):
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kuanzisha katika Uislamu sunna njema, atapata thawabu yake na thawabu za wale wanaoifuata baada yake.”
(Imepokelewa na Muslim)

26
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img