Tunafanya Nini Tukihitilafiana?

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Tunafanya Nini Tukihitilafiana?
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Tunafanya Nini Tukihitilafiana?
العقيدة سؤال وجواب – ماذا نفعل إذا اختلفنا ؟
نعود إلى الكتاب والسنة الصحيحة
الدليل من القرآن الكريم
قال الله تعالى :
فإن تنازعتم في شيء فردوه إلى الله والرسول
[النساء : 59]
الدليل من السنة النبوية
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
تركت فيكم أمرين ، لن تضلوا ما تمسكتم بهما : كتاب الله وسنة رسوله
قال الألباني : إسناده حسن (تخريج مشكاة المصابيح)
Aqida: ( Itikadi ya Kiislamu) Swali na Jibu –
Tunafanya Nini Tukihitilafiana?
Tunarejea kwenye Kitabu cha Allah na Sunna sahihi ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam).
Dalili kutoka kwenye Qur’an Tukufu:
Allah anasema:
” Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume,”
( Alnesaa 59 )
Dalili kutoka kwenye Sunna ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam):
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
“Nimewaachia mambo mawili, hamtapotea kamwe mkiyashikilia: Kitabu cha Allah na Sunna ya Mtume Wake.”
(Al-Albani amesema: Sanad yake ni nzuri – Takhrij Mishkat Al-Masabih).

39
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img