Document

Waislamu wanapaswa kuhukumu kwa nini?

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Waislamu wanapaswa kuhukumu kwa nini?
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Waislamu wanapaswa kuhukumu kwa nini?
العقيدة سؤال وجواب – بماذا يجب أن يحكم المسلمون ؟
يجب أن يحكموا بالقرآن والسنة النبوية
الدليل من القرآن الكريم
قال الله تعالى :
وأن احكم بينهم بما أنـزل الله
[المائدة : 49]
الدليل من السنة النبوية
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
إن الله هو الحكم ، وإليه الحكم
صححه الألباني ( صحيح الجامع )

Aqiida: ( Itikadi ya Kiislamu)Swali na Jibu –
Waislamu wanapaswa kuhukumu kwa nini?
Wanapaswa kuhukumu kwa Qur’an na Sunna za Mtume.
Dalili kutoka katika Qur’an Tukufu
Allah amesema:
” Na wahukumu baina yao kwa aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu,”
[Al-Maida: 49]
Dalili kutoka katika Sunna za Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam)
Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika Mwenyezi Mungu ndiye hakimu, na kwake ndiko hukumu.”
Imesahihishwa na Al-Albani (Sahihi Al-Jami’)

34
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img