Document

Silsila ya Tabia njema – Utu wema (Ushujaa wa tabia njema)

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

Silsila ya Tabia njema – Utu wema (Ushujaa wa tabia njema)
تنزيل الصورة :

جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي

Silsila ya Tabia njema – Utu wema (Ushujaa wa tabia njema)
سلسلة الأخلاق – الشهامة
أخلاق محمودة حث عليها الشرع وأمر بها
الشهامة
قال الله تعالى :
ولما ورد ماء مدين وجد عليه أمة من الناس يسقون ووجد من دونهم امرأتين تذودان قال ما خطبكما قالتا لا نسقي حتى يصدر الرعاء وأبونا شيخ كبير ( * ) فسقى لهما ثم تولى إلى الظل
( القصص : 23-24)
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
وتعين الرجل في دابته فتحمله عليها أو ترفع له عليها متاعه ، صدقة
رواه مسلم

Silsila ya Tabia njema – Utu wema (Ushujaa wa tabia njema)
Ni miongoni mwa maadili mema ambayo Uislamu umehimiza na kuamrisha:
Utu wema (Shahāmah)
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:
Na alipo yafikia maji ya Madyana alikuta umati wa watu wananywesha (wanyama wao), na akakuta karibu yao wanawake wawili wanawazuia wanyama wao. Akasema: Mna nini? Wakasema: Hatunyweshi sisi mpaka wamalize hao wachunga. Na baba yetu nimzee Basi Musa akawanyweshea; kisha akarudi kivulini, na akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia.
(Surat Al-Qasas: 23–24)

Na amesema Mtume (Rehema na amani zimikie yeye):
Na kumsaidia mtu kwenye mnyama wake, ukampandisha juu yake au ukambebea mzigo wake, hiyo ni sadaka.
(Imepokewa na Muslim)

13
بالضغط على هذا الزر .. سيتم نسخ النص إلى الحافظة .. حيث يمكنك مشاركته من خلال استعمال الأمر ـ " لصق " ـ
شارك :

error-img taf-img