سلسلة الأخلاق – القناعة 
لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا

لمشاهدة الصورة بحجمها الأصلي اضغط هنا
جودة الطباعة - ألوانجودة الطباعة - أسودملف نصّي
سلسلة الأخلاق – القناعة
أخلاق محمودة حث عليها الشرع وأمر بها
القناعة
قال الله تعالى :
ولا تمدن عينيك إلى ما متعنا به أزواجا منهم زهرة الحياة الدنيا لنفتنهم فيه ورزق ربك خير وأبقى
( طه : 131 )
قال رسول الله صلى الله عليه وسلم :
قد أفلح من أسلم ، ورزق كفافا ، وقنعه الله بما آتاه
رواه مسلم
Silsila ya Tabia njema – Kukinaika
Maadili Mema Yaliyohimizwa na Dini na Kuamrishwa ni
Kukinaika
Mwenyezi Mungu Mtukufu amesema:
“Wala usivikodolee macho tulivyo wastareheshea baadhi ya watu miongoni mwao, kwa ajili ya mapambo ya duniani, ili tuwajaribu. Na riziki ya Mola wako Mlezi ni bora na inadumu zaidi.”
(Surat Tāhā: 131)
ﷺ Na amesema Mtume Muhammad :
“Amefaulu mwenye kusilimu, akapewa riziki ya kutosheleza, na Mwenyezi Mungu akamjaalia kuridhika kwa alichompa.”
(Amesimuliwa na Muslim)